MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

VARDY MCHEZAJI BORA WA MWAKA UINGEREZA

Vardy
Mshambuliaji wa Leicester Jamie Vardy ametawazwa mchezaji soka bora wa mwaka na chama cha waandishi wa kandanda Uingereza.

Mshambuliaji huyo wa Uingereza alipata 36% ya kura zilizopigwa na wanahabari 290 na kuwashinda wenzake Riyad Mahrez na N'Golo Kante.
Vardy, 29, amefunga mabao 22 Ligi ya Premia msimu huu.


Aidha, alivunja rekodi kwa kufunga mabao kila mechi katika mechi 11 mtawalia.

kutoka BBC Swahili.com

Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment